Header Ads

YAYA TOURE AWAKALISHA TENA AFRIKA KATIKA WACHEZAJI 23 WANAOGOMBANIA TUZO YA MCHEZAJI BORA WA FIFA 2014

Mchezaji bora wa FIFA mwaka jana, Christiano Ronaldo pamoja na mshindi wa tuzo hiyo mara nne mfululizo 2009-2012, Andrew Leonel Messi ni miongoni mwa wananandinga 23 walioteliwa na FIFA kugombea tuzo ya mchezaji bora wa mwaka 2014 huku klabu za Real Madrid na Bayern Munich zikiongoza kwa kuwa na wachezaji wengi katika orodha hiyo.

Katika orodha hiyo, bara la Ulaya ndilo limetawala kwa kuwa na wachezaji wengi zaidi ambao jumla
yao ni wacheza 17, Amerika ya kusini wao wametoa wachezaji 5 huku Afrika ikifanikiwa kuwa na mwakilishi mmoja tu (Yaya Toure). Mshindi wa tuzo hiyo anatarjiwa kutangazwa mwezi Januari mwaka huu.

Orodha ya wachezaji wanaogombania tuzo ya
mchezaji bora wa FIA 2014 ni hawa:

1.Gareth Bale , Wales, Real Madrid

2.Karim Benzema, France, Real Madrid

3.Diego Costa , Spain, Chelsea

4.Thibaut Courtois, Belgium, Chelsea

5. Angel Di Maria, Argentina, Manchester United

6.Mario Gotze , Germany, Bayern Munich

7.Eden Hazard , Belgium, Chelsea

8.Zlatan Ibrahimovic , Sweden, Paris Saint-Germain

9.Andres Iniesta , Spain, Barcelona

10.Toni Kroos , Germany, Real Madrid

11.Philipp Lahm, Germany, Bayern Munich

12.Javier Mascherano , Argentina, Barcelona

13.Lionel Messi, Argentina, Barcelona

14.Thomas Muller , Germany, Bayern Munich

15.Manuel Neuer, Germany, Bayern Munich

16.Neymar, Brazil, Barcelona

17.Paul Pogba , France, Juventus

18.Sergio Ramos , Spain, Real Madrid

19.Arjen Robben , Netherlands, Bayern Munich

20.James Rodriguez, Colombia, Real Madrid

21.Cristiano Ronaldo , Portugal, Real Madrid

22.Bastian Schweinsteiger , Germany, Bayern Munich

23.Yaya Toure , Ivory Coast, Manchester CityMabali

Mbali na hiyo, hii pia ni orodha ya makocha wanao gombania tuzo za ukocha bora wa mwaka
2014.
1. Carlo Ancelotti , Real Madrid
Antonio Conte , Juventus/Italy

2. Pep Guardiola, Bayern Munich
Jurgen Klinsmann , United States
Joachim Low, Germany

3. Jose Mourinho, Chelsea
Manuel Pellegrini , Manchester City

4. Alejandro Sabella , Argentina

5. Diego Simeone , Atletico Madrid
Louis van Gaal , Netherlands/Manchester United

No comments

Powered by Blogger.