Header Ads

TAMASHA LA FIESTA 2014 LAACHA GUMZO MKOANI MORO

Msanii wa Bongo Fleva, Linah Sanga akicheza na mmoja ya shabiki wake Ole Themba usiku wa kuamkia leo katika Uwanja wa Jamhuri mkoani Morogoro.
Mashabiki waliojitokeza katika Serengeti Fiesta Uwanja wa Jamhuri mkoani Morogoro.
Msanii wa Bongo Fleva, Afande Sele akiwapa raha mashabiki wake.
Mashabiki wakiendelea kupagawa na burudani.
Mkali kutoka Morogoro, Stamina akiwapa burudani mashabiki wake sambamba Nay Wamitego.
Staa wa Bongo Fleva, Mr. Blue naye ndani.
Mashabiki waliojitokeza katika Serengeti Fiesta usiku wa kuamkia leo wakicheza.
Mtangazaji wa Clouds FM, Adam Mchomvu 'Baba Jonii' akifanya yake.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhk7yBKPMHdppps6kBCTYFrz-QQumgGXMyDcaH1ZqX97NnYVuED33gsjksbDHoVv-_PMndDw-kRSfy2wIgcXDxEhzCwalbyYisAFNcFLWXE_xusGacG8NXZtqLxJ9Elm00RfWBJtOqMxjc/s1600/1+(2).jpgP
Msanii wa Bongo Fleva Vanessa Mdee a.k.a V-Money akitumbuiza mashabiki waliokuwa wamefurika kwenye Uwanja wa Jamhuri Morogoro kwenye Tamasha la Fiesta 2014.
 
 

]

 


 


No comments

Powered by Blogger.