Header Ads

CHEKI BUNDUKI ZA ARSENE WENGER DHIDI YA MANCHESTER CITY WIKIENDI HII

ARSENAL
ARSENE Wenger kesho anawakabili mabingwa watetezi wa ligi kuu soka nchini England, Manchester City katika mchezo wa ligi kuu uwanja wa Emirates.
Baada ya kumsajili Danny Welbeck, je, kikosi kitakakuwa kama inavyoonekana pichani juu?
Kuna majeruhi wachache waliojitokeza kwenye mechi za kimataifa ambao ni Aaron Ramsey, Mikel Arteta na Mesut Ozil.
Lakini inaonekana Wenger ana chaguo kubwa la wachezaji na wataweza kumsaidia katika mechi ya kesho.
Centre of attention: Danny Welbeck in training with the Arsenal squad at London Colney on Friday
Mkali mpya: Danny Welbeck akiwa katiika mazoezi ya Arsenal  uwanja wa
London Colney leo
Arsene Wenger has plenty of options at his disposal for the visit of Manchester City on Saturday
Arsene Wenger ana wachezaji wengi wanaoweza kumsaidia kwenye mechi dhidi ya  Manchester City kesho jumamosi.





RATIBA HII HAPA











































 

England - Premier League September 13

 



14:45 Arsenal ? - ? Manchester City
17:00 Chelsea ? - ? Swansea City
17:00 Crystal Palace ? - ? Burnley
17:00 Southampton ? - ? Newcastle United
17:00 Stoke City ? - ? Leicester City
17:00 Sunderland ? - ? Tottenham Hotspur
17:00 West Bromwich Albion ? - ? Everton
19:30 Liverpool ? - ? Aston Villa

 



No comments

Powered by Blogger.