Header Ads

BREKING NEWWZZ PICHA: MSIKITI WA MTAMBANI UMEUNGUA MOTO TENA LEO

msikiti  wa mtambani umeungua  tena katika kipindi kifupi kwa mara ya pili moto huo ulianzia kwenye chumba cha stoo cha darasa la wanafunzi wa kidato cha nne ambao wenyewe hawapo wameondoka jana kwa mujibu wa katibu wa msikiti wa mtambani shekh Abdallah Mohamed asema kulikuwa na fundi umeme anatengeneza waya za umeme katika harakati za kufanya wayaringi  wakati huo waumini walikuwa wanajianda katika sal;a ya Ijumaa leo gafla tukaona moshi umetanda kwenye bweni la wanafunzi katika ghorofa ya kwanza  picha ni matukio mbalimbali leo





































No comments

Powered by Blogger.