Header Ads

MSIKITI WA MTAMBANI KINONDONI WAUNGUA TENA



(Msikiti wa Mtambani ukiungua kwa moto. Picha na Maktaba yetu)


Habari zilizotufikia ni kwamba Msikiti wa Mtambani uliyopo Kinondoni jijini Dar es Salaam unateketea kwa moto hivi sasa. Hii ni mara ya pili msikiti huo kutetekea kwa moto baada ya
kuungua Agosti 13 mwaka huu. Habari zaidi zitawajia hivi punde.

source: GPL

No comments

Powered by Blogger.