Header Ads

XABI ALONSO ATUA BAYERN MUNICH

 Kiungo Xabi Alonso ametua jijini Munich, Ujerumani tayari kufanya vipimo na baadaye kumalizana na Bayern Munich.

Alonso anatarajia kujiunga na Bayern kwa kitita cha pauni milioni 7.5.
Kiungo huyo mkabaji mwenye miaka 32 alijumuika na mashabiki kwa kusaini autograph kuonyesha tayari amewasili na atakuwa nao.
29 Aug 2014

No comments

Powered by Blogger.