Header Ads

FALCAO AKARIBIAKUTUA MADRID, CITY HAWANA CHAO



Inawezekana kabisa Man City hawana chao kwa kuwa mshambuliaji Ramadel Falcao ameeleza nia yake ya kutua Real Madrid.
Falcao aliweka taarifa yake kwamba ndoto yake ya kwenda Madrid itakamilika.
Alieleza hilo kupitia mtandao wa jamii wa Instagram. Lakini baada ya muda mchache akaitoa post hiyo.
Hali ambayo imeonyesha uhamisho wake unaendelea kushughulikiwa.
Man City ilikuwa inapambana kumpata Falcao ambaye anaendelea kuichezea AS Monaco ya Ufaransa.

No comments

Powered by Blogger.