Header Ads

PINDA AJIANDIKISHA DAFTARI LA WAPIGA KURA


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akijiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kituo cha kuandikisha wapiga kura cha Ofisi ya Mtendaji wa Kata ya Kibaoni wilayani Mlele Mei 25, 2015. Kushoto ni Mwandikishaji wapiga kura, Auxilia Gaspar.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akionyesho kitambulisho chake cha mpiga kura baada ya kujiandikisha katika. Kulia ni Mkuu wa mkoa wa Katavi, Dkt Ibrahim Msengi na Kushoyo ni
Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Julius Malaba.
Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akichuliwa alama za vidole wakati alipojiandikisha katika kituo cha kuandikisha wapiga kura cha Shule ya Msingii Kakuni katika kijiji cha Kibaoni wilayani Mlele Mei 25, 2015. Kulia ni Mwandikishaji wapiga kura, Happiness Isaya.
Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akichuliwa alama za vidole wakati alipojiandikisha katika kituo cha kuandikisha wapiga kura cha Shule ya Msingii Kakuni katika kijiji cha Kibaoniwilayani Mlele Mei 25, 2015. Kulia ni Mwandikishaji wapiga kura, Anna Gale.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

No comments

Powered by Blogger.