Header Ads

PICHA ZA MATUKIO YA ZIARA YA WANAFUNZI WA CHUO CHA UANDISHI WA HABARI DSJ KATIKA KITUO CHA KULELEA WATOTO YATIMA KURASINI JIJINI DAR ES SALAAM


kabla ya kuanza safari matukio tofauti ya upigaji wa picha mbalimbali yakiendelea

kameraman naye hakuwa mbali kwenye picha za mapozi ya kizamani

                           upigaji wa picha uliendelea zaidi

hapa mahojiano na baadhi ya wanachuo yalianza rasmi


safari ilianza rasmi

baada ya safari kuanza

walipowasili kituoni hapo

mkuu wa msafara akiweka sahihi katika kitabu cha wageni

kiongozi wa serikali ya wanachuo akisaini

mwenyeji wa kituo akitoa maelekezo


                             furaha iliendelea zaidi na kufurahia na watoto

                         mmoja wa wahudumu wa afya wa kituo akitoa maelekezo
                             kameraman wetu akiwa kazini
                              watoto wakitoa shukrani
                                     mahojiano yaliendelea

baadhi ya vitu walivyojitolea


wakiwa na mmoja wa waandishi wa habari
PICHA ZOTE KWA HISANI YA THE CIRCLE ONLINE TV

No comments

Powered by Blogger.