Diamond Kufanya Show Kwenye Uzinduzi Wa Big Brother Africa 2014.
Diamond
Platnumz ametajwa kuwa kwenye orodha ya wasanii watakao fanya show
kwenye uzinduzi wa msimu mpya wa shindano la Big Brother Africa
2014.Uzinduzi huu unafanyika September 7 2014 huko Afrika Kusini.
Fahamu baada ya show yake South Africa Diamond atarekodi kwenye Coke studio Kenya na baadae kwenda Uingereza kwaajili ya Show ya Africa Unplugged
Fahamu baada ya show yake South Africa Diamond atarekodi kwenye Coke studio Kenya na baadae kwenda Uingereza kwaajili ya Show ya Africa Unplugged
Post a Comment