Header Ads

KOCHA WA UJERUMANI AUKUBALI MZIKI WA ROJO



Kocha Mkuu wa Ujerumani, Joachim Loew alitumia karibu dakika nzima akizungumza na kumpongeza beki Marcos Rojo wa Argentina.

Loew ambaye ameipa Ujerumani ubingwa wa dunia kwa kuifunga Argentina bao 1-0 nchini Brazil, hivi karibuni, alionekana kufurahishwa na Rojo katika mechi hiyo ya kirafiki.
Kocha huyo alimpa mkono Rojo aliyejiunga na Man United na kuzungumza naye maneno kadhaa huku akiutingisha mkono wake.

Katika mechi hiyo ya kirafiki, Ujerumani ililala kwa mabao 4-2.

No comments

Powered by Blogger.