Header Ads

Kijana mwenye miaka 4 akatwa mguu Kenya

Familia yawachwa hoi baada ya kupigwa risasi kwa watoto pwani

 Familia ya kijana mwenye umri wa miaka minne aliyepigwa risasi na polisi huko Mombasa inasema amekatwa mguu
Polisi nchini Kenya wamelaumiwa kwa kumpiga risasi kijana mmoja mwenye umri wa miaka 4 aliyepigwa risasi katika hali ya kutatanisha wakati wa mauaji ya mfanyibiashara Shahid Butt huko Mombasa mwezi uliopita.
Mtoto huyo sasa amekatwa mguu wake .
Familia ya mvulana huyo inasema kwamba serikali imewatelekeza licha ya kutoa ahadi chungu nzima.
SOURCE: BBC

No comments

Powered by Blogger.