Header Ads

HII SASA WAZI WAZI VIDEO: SHILOLE NA NUH MZIWANDA WALIPOKULA ‘DENDA’ JUKWAANI KWENYE SHOW YA ‘TURN DOWN FOR WHAT’




Shilole aka Shishi baby pamoja na baby wake Nuh Mziwanda usiku wa juzi katika ukumbi wa Maisha Club kwenye show ya ‘Turn Down For What,’ walifanya kile walichokifanya Jay Z na Beyonce juzi hiyo hiyo kwenye tuzo za MTV VMA, yaani kuoneshana upendo hadharani kwa
njia ya kula denda (kiss) jukwaani.

No comments

Powered by Blogger.