CHRIS BROWN YAMTOKEA MAKUBWA, AKOSWA RISASI CLUB
Chris Brown akoswa
kupigwa risasi na watu wasiojulikana ndani ya Club,
Chris Brown alikuwa host wa
pre party ya VMA Awards ndani ya 10AK club
huko Hollywood. Kilichotokea kwenye
hiyo party ni kupigwa risasi watu watatu na kukimbizwa hospitali akiwemo music
producer Suge Knight.
Mashuhuda
wa tukio hilo wanasema kwamba risasi hizo zilikuwa na lengo la kupiga Chris
Brown japokuwa Chris ameondoka akiwa salama kabisa.
Baada
ya fujo hizo kutokea Chris Brown ali-tweet hivi

Post a Comment