Hatari!! Jokate, Vanessa Mdee Katika Beef Zito Kisa Penzi La Ommy Dimpoz
Habari ya Mjini ni kuhusu Jokate Mwegelo kutoka kimapenzi na Ommy Dimpoz ambaye ni star wa Bongofleva.
Habari
zaidi zinasema kuwa Jokate na Ommy Dimpoz wamekuwa wapenzi kwa muda
sasa ila kwa siri kubwa ikidaiwa wote hawakuwa tayari kuweka uhusiano
wao hadharani wakiogopa media kuanza kuwafuatilia.
Inadaiwa
pia kuwa Ommy alikuwa anatoka kimapenzi na Vanessa Mdee lakini baada ya
Vanesa kugundua kuwa Jokate anamzunguka zikawa haziivi tena na
huchekeana kinafiki tu wakikutana .
Kwasasa
Jokate na Ommy wanaliendeleza libeneke la huba kwa siri.Habari
zinaingia ndani zaidi kwa kusema kuwa Jokate alikuwa pia akienda
mikocheni alipodaiwa alikuwa nakaa Dimpoz sababu ya penzi kukolea.
Hata hivyo si Jokate, Ommy wala Vanessa ambaye amepatikana kuzungumzia suala hili.
Post a Comment